Hivi kushindwa kutumia condom kunadababishwa na nini lakini nikienda kavu na enjoy lakini nikivaaa tuu condom na loose my erection on the sport....au kama kuna aina nzuri ya condom ya kutumia ��
Hivi kushindwa kutumia condom kunadababishwa na nini lakini nkienda kavu na enjoy lakini nkivaaa tuua condom na loose my erection on the sport....au kama kuna aina nzur ya condom ya kutumia 😎
To be honest utamu Upo kwenye nyama kwa nyama lakini tunajua vitumbua vimeingia mchanga. Inabidi kuchukua uamuzi. Faidi na pata utamu peku peku ukijua kuna risk ya dhoruba au.tumia ndom upunguze utamu.lakini uzuie.dhoruba kwa asilmia.kubwa. kupanga ni kuchagua.