Super Incredible
Member
- Jul 14, 2013
- 6
- 0
Mornie jf
Hivi kushindwa kutumia condom kunadababishwa na nini lakini nkienda kavu na enjoy lakini nkivaaa tuua condom na loose my erection on the sport....au kama kuna aina nzur ya condom ya kutumia 😎
Ukitaka uenjoy nenda kapime tu na mpenzi wako mjue ukweli kabla
Ndomu zinakera sana, hata mimi sizipendi
Na michepuko hii kila kona,bado kupima hakuwahakikishii usalama.
Mkipima na wote mkawa waaminifu sawa ila kuusemea moyo wa mtu ni kazi!!!!!
Shida kubwa ni uaminifu tu
Hapo ndo sababu ya kusambaa ngoma
Sijui ni tamaa au nini?[/QUOTE]
Kila anayechepuka ana sababu zake!
Shida kubwa ni uaminifu tu
Hapo ndo sababu ya kusambaa ngoma
Sijui ni tamaa au nini?[/QUOTE]
Kila anayechepuka ana sababu zake!
Nipe sababu yako
Nipe sababu yako
Nikichepuka nitakupa.