Naomba kuuliza juu ya taarifa iliyotolewa na tamisemi kuhusu wanafunzi ambao hawakuchaguliwa kujiunga kidato cha tano. Je ni ipi tarehe ya kuanza kutuma maombi ya vyuo na tarehe ya mwisho ni lini.
Naomba kuuliza juu ya taarifa iliyotolewa na tamisemi kuhusu wanafunzi ambao hawakuchaguliwa kujiunga kidato cha tano. Je ni ipi tarehe ya kuanza kutuma maombi ya vyuo na tarehe ya mwisho ni lini.