Habari za majukumu, kama nilivyo tangulia kichwa hapo juu naombeni mwenye ujuzi wa kilimo cha mahindi anisaidie niokoe shamba langu la mahindi nimechelewa kupalilia mahindi yamebadilika rangi na kuwa ya njano, nifanye nini ili yabebe vizuri?
Sent using
Jamii Forums mobile app