Msaada juu ya hii kozi ya Mechatronics Engineering

Msaada juu ya hii kozi ya Mechatronics Engineering

Crispin sam

Member
Joined
Oct 27, 2015
Posts
49
Reaction score
5
Jaman ndungu zangu kwa anaeifahamu kozi hii ya mechatronics engineering anijuze vizuri .....
Na vipi kuhusu soko la ajira kwa sasa inalipa? Na je unaeza kujiajiri wapi ?
 
Mechatronics Engineering ni fani inayounganisha Mechanical na Electronics Engineering kwa pamoja mfano mwepesi ni utengenezaji wa/au utaalamu wa Robots
 
Itakusaidia sana kwenye plc na robotics, pia lazima ujue programming. Ni mechanical na electronic zimeunganishwa pamoja, nahisi UDSM wanafundisha hapo
 
Mechatronics Engineering ni fani inayounganisha Mechanical na Electronics Engineering kwa pamoja mfano mwepesi ni utengenezaji wa/au utaalamu wa Robots
Vp kweny suala la kujiajir inawezekana ?
 
Back
Top Bottom