Nehemia Isaya
Member
- Aug 6, 2021
- 8
- 4
Jamani naomba ushauri nataka kusoma ngazi ya certificate course ipi nzuri Kati ya IT na ICT na nivyuo gani vizuri kwa course hizo.
UDSM wanafundisha ngaz ya certificate
UDSM pale COICT Kijitonyama kuna certificate na diploma ya computer science, ukiachana na uzuri wa fani utapata faida ya kuwa karibu na communities mbali mbali za TechnologyJamani naomba ushauri nataka kusoma ngazi ya certificate course ipi nzuri Kati ya IT na ICT na nivyuo gani vizuri kwa course hizo