Msaada juu ya bootable usb.

Msaada juu ya bootable usb.

Mr. madevu

JF-Expert Member
Joined
Mar 2, 2013
Posts
432
Reaction score
75
Habari wanajamvi, ninaomba msaada jinsi ya kufanya usb flash iwe bootable
 
Kwanza lazima uwe na ISO file.Kama huna unatakiwa kucreate.Mimi nakushauri kutumia Any To ISO Tool(inapatikana kwenye torrent). Binafsi nimetumia PowerIso lkn kuna wakati ISO file linakataa kuboot kwenye USB!

Kwa kawaida mimi natumia Any To ISO Pro kutengeneza ISO file,kisha natumia Win7 USB DVD Tool(kwa windows) AU LinuxLive USB Creater (kwa linux/ubuntu) kucreate bootable usb

Nimejaribu kuattach hapa hizo softwares zote(3) lkn net inazingua,nimekwama.Ila unaweza kugoogle zote zinapatikana.
 
Nawashukuru sana wadau, mawazo yenu yamenifanikishia kazi yangu. God bles you all!
 
Back
Top Bottom