paulndasi9
Member
- Aug 8, 2014
- 83
- 9
Naombeni msaadaa juu ya hii baypotr mimi nimeekopa mkopo wa miaka mitano na vigezoo vyootee tukawa tume kubaliana sasa cha kushangazaa hawa jamaa wana kata kimaaa cha juuu saana nina takiwa nibaki na moja ya tano ya mshala wangu lakini hata hiyoo siiipatiii basic saly ni 360000tsh nikipigaa hesabuu wao wananikata kama 220000tsh nimeendaa ofisi zaoo wameniambia mtandaooo ulikua una sumbua wakatiii huu ni mweziii wa nnee sasa wananikata hivyooo naombeeni msaada wenuu nifanyeejeee