Msaada jinsi ya kuunganusha data za simu na PC

Msaada jinsi ya kuunganusha data za simu na PC

mwita burure

Senior Member
Joined
Jul 8, 2016
Posts
192
Reaction score
39
Ndungu wana jf naomba msaaada jinsi ya kuunganisha data za kwenye cm zitymike kama modem kwenye pc
 
Ndungu wana jf naomba msaaada jinsi ya kuunganisha data za kwenye cm zitymike kama modem kwenye pc
Washa wireless ya p.c
Then chukua cmu yko nenda Menu > Setting > Wireless and Network > Tethering and portable Hotspot i switch on
Utaona kwny p.c wireless network utaingiza password km ujui password yko hapo hapo kwny tathering n portable hotspot ukiifungua utaona password yko
 
Back
Top Bottom