Kabla sijaenda kwenye NCK box crack nataka kujua hiyo Gmail naipata vipi maana haifiki huko.Hahahaa kaka hiyo ni FRP (Factory Reset Protection) ambayo ni security mpya ya android kwenye sim zenye latest OS, Kuivuka io hatua unatakiwa kueka Gmail na password yako ilokuepo awali, au kama umeiba ni vizuri ukamrudishia mwenyewe, na njia nyingine ni kwa kutumia NCK Box crack utafanikiwa 100%...
nikuNimefanya HARD-RESET inashindwa kumaliza na inaishia kusearch
Wifi network, ile option ya kuskip imefaint nifanyeje?
Hio kitu niliipitia kwenye simu moja juzi nikajua kua hio simu ilipigwa sehem lakini mwanadada kutokan na uelewa wake finyu akawa analazimisha tu kua ni yake imebaki kama kopoHahahaa kaka hiyo ni FRP (Factory Reset Protection) ambayo ni security mpya ya android kwenye sim zenye latest OS, Kuivuka io hatua unatakiwa ku connect na strong Wi-Fi signal na kueka Gmail na password yako ilokuepo awali, au kama umeiba ni vizuri ukamrudishia mwenyewe, na njia nyingine ni kwa kutumia NCK Box crack utafanikiwa 100%...
Nipeni mimi iyo sim,,, sekunde ni kubwa sana kwangu kuondoa hiyo kitu...Hio kitu niliipitia kwenye simu moja juzi nikajua kua hio simu ilipigwa sehem lakini mwanadada kutokan na uelewa wake finyu akawa analazimisha tu kua ni yake imebaki kama kopo
Umeconnect na Wi-Fi!?Tatizo hata huko kwenye kudai password haifiki
Mkuu hiyo ishu ilishawahi nitokea na mimi, tatizo humu kila mtu anajibu tu hajui hata hiyo hali inakuaje.Kabla sijaenda kwenye NCK box crack nataka kujua hiyo Gmail naipata vipi maana haifiki huko.
Hawajui mkuu, nimeflash imekubali.Mkuu hiyo ishu ilishawahi nitokea na mimi, tatizo humu kila mtu anajibu tu hajui hata hiyo hali inakuaje.
Mi nilienda kuflash mkuu ndio ikawa ponapona yangu, zaidi ya hapo no way out
Slippy Gerald, you served football.
Sasa si ulekeze hizo trick!! Au siku hizi jf watu hawasaidii kama ilivyo miaka ya 2006-2012Nipeni mimi iyo sim,,, sekunde ni kubwa sana kwangu kuondoa hiyo kitu...