Msaada:jinsi ya kurudisha Documents baada ya ku- reset simu.

Alfred Masesa

Member
Joined
Nov 2, 2016
Posts
71
Reaction score
146
Wakuu.
Nili-reset simu yangu bila ku-save Documents zangu muhimu, na Kama ilivyo kawaida ya ku -reset kila kitu kinafutika, nami ndo hivyo kila kitu kimefutika.
Baada ya kufuatilia nimeambiwa kuna uwezekano wa kurudisha Documents zote zilizofutika Endapo nitapata mtaalamu wa kunielekeza.
Wakuu, kwa yoyote mwenye uelewa huo naomba msaada Tafadhali.
Natanguliza shukrani.
 
Una Bei gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…