MSAADA: Jinsi ya kupandisha kinga ya mwili

MSAADA: Jinsi ya kupandisha kinga ya mwili

The Fogo

New Member
Joined
Apr 21, 2025
Posts
2
Reaction score
0
Wataalam habari.

Naomba kuuliza, ni namba gani ya kupandisha Kinga ya mwili iliyopo chini kwa mtu ambaye siyo muathirika wa UKIMWI
 
Wataalam habari.

Naomba kuuliza, ni namba gani ya kupandisha Kinga ya mwili iliyopo chini kwa mtu ambaye siyo muathirika wa UKIMWI
Hapo tumia kitu aliwahi kushauri Prof Jizee alisema 1. KULA VIZURI, 2. FANYA MAZOEZI NA 3. PUMZISHA MWILI WAKO...... Naaa una uhakika gani kuwa kinachokusumbua ni kinga ndogo ya mwili na sio kinga ya mwili kuzidi. Ungeachana na kinga ukatafuta zaidi AFYA.


Afya ni BALANCE!!!! TU
 
Wataalam habari.

Naomba kuuliza, ni namba gani ya kupandisha Kinga ya mwili iliyopo chini kwa mtu ambaye siyo muathirika wa UKIMWI
Good sleep, fasting/water fasting, organic foods, stop eat: (meat, wheat, coffee, sweet, sugar, energy drinks, other canned products), physical exercise, connect to the nature, Drink pure water, etc
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom