Habar za muda wana wa JF!
Bila ya kupoteza muda niingie mojakwamoja kwenye mada kuu!,
Mwenye kujua tafadhali naomba anisaidie jinsi ya kum'blok mtu kwenye simu za androids,
Its almost 2yrs now nasumbukia kujua utaalamu huu.
inawezekana kutokana na android version unayo2mia kwenye 7.0 nougat ipo lakn nakumbuka kwenye 6.0 marshmallow hii ki2 ilinisumbua nilikuwa na2mia installed apps
inawezekana kutokana na android version unayo2mia kwenye 7.0 nougat ipo lakn nakumbuka kwenye 6.0 marshmallow hii ki2 ilinisumbua nilikuwa na2mia installed apps
inawezekana kutokana na android version unayo2mia kwenye 7.0 nougat ipo lakn nakumbuka kwenye 6.0 marshmallow hii ki2 ilinisumbua nilikuwa na2mia installed apps