Shida yangu ni kuhusu jiko la gas ninampango wa kununua jiko la gas la plate mbili issue ni jiko gani bora na lisilotumia gas nyingi na nitalipata kwa sh ngapi? Maana nimesikia kuna majiko fake na yanayotumia gas nyingi.
Mwenye ufahamu wa hilo naomba anisaidie vigezo vya kupata jiko bora ni nini nizingatie na nini kifanyike.
kunakampuniinaanza na O. wapo maeneo mengi nchini
swala lakumaliza gesi haraka hiloniswala lazile koki sidhani kama inahusiana na ainaya mtungi au wataalamu mnasemaje?
Jiko la gesi ni noumaaa. ....karibu kwenye jiko lililo na karaha. .. no moshi no makini. .. mie hapa aaah kwa raha zangu nakarangiziwa tuu na Deo. ....
Majiko yote uliyo tajiwa ni fake na yana kula gas nyingi sana. Kwa ushauri kanunue jiko linaitwa VAN HOT POINT. ndio jiko bora na lakisasa linakula gas kidogo sana tena utapata la kioo wanauza 125, 000. Mpaka 120, 000.
Majiko yote uliyo tajiwa ni fake na yana kula gas nyingi sana. Kwa ushauri kanunue jiko linaitwa VAN HOT POINT. ndio jiko bora na lakisasa linakula gas kidogo sana tena utapata la kioo wanauza 125, 000. Mpaka 120, 000.