K kangalo Member Joined Nov 27, 2012 Posts 18 Reaction score 1 Jun 13, 2013 #1 ipi simu ya ukweli kati hizi Blackberry z10, Galaxy s3, lumia 720,na sony ericksony xparece Y.
Isaac Chikoma JF-Expert Member Joined Oct 25, 2011 Posts 475 Reaction score 101 Jun 14, 2013 #2 labda uingie kwenye gsmarena site uangalie specifications za hizo simu pengine utajua ipi itakufaa.kwa mimi labda uchague kati ya blackbery na sony.
labda uingie kwenye gsmarena site uangalie specifications za hizo simu pengine utajua ipi itakufaa.kwa mimi labda uchague kati ya blackbery na sony.
ndetichia JF-Expert Member Joined Mar 18, 2011 Posts 27,769 Reaction score 6,585 Jun 14, 2013 #3 kangalo said: ipi simu ya ukweli kati hizi Blackberry z10, Galaxy s3, lumia 720,na sony ericksony xparece Y. Click to expand... fanya kama ulivoshauriwa na kingine wewe unapenda simu gani na os gani ya simu pia husaidia zaidi..
kangalo said: ipi simu ya ukweli kati hizi Blackberry z10, Galaxy s3, lumia 720,na sony ericksony xparece Y. Click to expand... fanya kama ulivoshauriwa na kingine wewe unapenda simu gani na os gani ya simu pia husaidia zaidi..