Wandugu nisaidieni, niliomba kibari tanrod nikapta ingawaje muda wa kukipata ni siku mbili. Sas tatizo lina kuja hapa jana nimeanza safari ya ninakokwenda kwa bahati mbaya kumbe nilikosea kuandika namba ya gari badala ya kuandika 498 nikaandika 698, sasa hivi niko mizani nimezuiliwa hapa kibaha wananiambia nirudi dar niombe tena kibali na ukumbuke inachukua siku mbili kukipata je wandugu nifanyeje? Msaada