Msaada jamani... Nimevurugwa!! :-)

SectionTwenty

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2013
Posts
675
Reaction score
614
Eti unawezaje kuhesabu siku za ujauzito... Yaani mfano nimesex nae leo akiwa katika siku zake za hatari.. Je kama baada ya wiki mbili akija kuniambia ana mimba hiyo mimba itakua ni ya wiki mbili au!? Yaani swali langu la msingi MIMBA HUANZA KUHESABIWA SIKU NGAPI BAADA YA KUSEX.. Na pia kipimo cha utrasound kinaweza kudetect mimba inapofikia muda gani?
MSAADA WENU maana nipo latika wakati mgumu sana...
 

Hujui kutumia Google? Bing? Wikipedia? Webmd.com? Mayoclinic.org? Cdc.gov?
 
mimba hata siku moja inajulikana. Apime mkojo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…