Hii imeka vyema sana hakuna njia nyingine.Hata ukimpata unadhani atakurudishia kwenye bahasha?
Kuna utaratibu wa jinsi ya kupata msaada unapoibiwa vyeti. Nenda baraza la mitihani watakuelewesha. Lakini kwanza tafuta police report kuwa umeibiwa. Baada ya hapo utaratibu; endapo haujabadilika; unapaswa kutoa tangazo kwenye gazeti la serikali (wanajua wenyewe jinsi ya kuandika). Baada ya siku 21 unaweza kuomba matokeo yako kwa ajili ya kila application unayofanya. Namaanisha kila unapohitaji cheti, baraza la mitihani wanamuandikia uneyempelekea barua ya matokeo.
Hata ukimpata unadhani atakurudishia kwenye bahasha?
Kuna utaratibu wa jinsi ya kupata msaada unapoibiwa vyeti. Nenda baraza la mitihani watakuelewesha. Lakini kwanza tafuta police report kuwa umeibiwa. Baada ya hapo utaratibu; endapo haujabadilika; unapaswa kutoa tangazo kwenye gazeti la serikali (wanajua wenyewe jinsi ya kuandika). Baada ya siku 21 unaweza kuomba matokeo yako kwa ajili ya kila application unayofanya. Namaanisha kila unapohitaji cheti, baraza la mitihani wanamuandikia uneyempelekea barua ya matokeo.
Oya,kuna vyeti viliokotwa vikawekwa pale daruso-udsm,{vipo mpaka leo}inasemakana vina zaidi ya miaka mitatu pale,asa sijui ndo vitakua hvo au vp?kipo kimoja cha o-level na results slip ya form 6.