Ukweli siku zote unauma,ila humweka mtu huru.Mtazunguka huku na kule kutafuta jibu,pengine hata kwa kulipigia mstari.Jibu:ZANZIBAR NI NCHI KAMA MADAGASCA,SRI-LANKA n.k.Swala la muungano lipolipo tu kwani na kama la kulazimishana vile.Wana bendera yao,wimbo wao wa taifa,tuache unafic,utazamemi uhalisia