Msaada jamani maana............enh!!!!!!

Msaada jamani maana............enh!!!!!!

sweet poison

Senior Member
Joined
Aug 16, 2013
Posts
104
Reaction score
15
Habari wana mmu napenda niombe msaada kwenu kwa anayeweza kunisaidia.nipo ktk kwa miaka3 ss mwanzoni nilikuwa fiti sana kimchezo yaani mabao ilikuwa ni km kawa.lakini cku hz nipo luz sana tena cku hizi nikiingiza tu sichukui round namwaga oil. NAOMBA ANEYEWEZA KUNISAIDIA NJIA YA KUCHELEWESHA KUmwaga ANIAMBIE KAMA IPO DAWA PIA NAOMBA MSAADA NAMNA YA KUIPATA.Msaada wenu utanusuru ndoa yangu
 
Pole unajua ukiwa haufanyi mara nyingi kumwaga kuna wahi ila ukila mzigo mara kwa mara taratibu utaona unaanza kuchelewa na ukizidi utajikuta hadi mke yako a suck ndo unasimama. Endelea kupiga tena na tena na tena alafu kaa mbali na masturbation. Saa hizi kichupa kimejaa ndio maana ukigusa tu unakwama.
 
Kwhyo hyo huo msaada hapa unahusika vp?? Unataka tukupikie au tukunulie??..
 
fanya mazoezi
na ppunguza kufanya hiyo kitu,...
. kula vizuri i mean chakula chenye virutubisho vyote achana na chips mayai..
sidhani kama demu wko ana taztizo kwenye upande wa mvuto
ukifanya hayo yatakusaidia....

kama ni mvivu fanya yafuatayo:
kunywa zanj na konyagi kabla ya kwenda kwenye game
kunywa panadol
piga pull kwa bao la kwanza na baada ya hapo ndo uendeleee uwiiii
 
fanya mazoezi
na ppunguza kufanya hiyo kitu,...
. kula vizuri i mean chakula chenye virutubisho vyote achana na chips mayai..
sidhani kama demu wko ana taztizo kwenye upande wa mvuto
ukifanya hayo yatakusaidia....

kama ni mvivu fanya yafuatayo:
kunywa zanj na konyagi kabla ya kwenda kwenye game
kunywa panadol
piga pull kwa bao la kwanza na baada ya hapo ndo uendeleee uwiiii

Kumbe ni ticha mzuri hivi, upo :flame:mbaya
 
Punguza kutumika sana ndio dawa, ingekuwa sigata ingebaki kichungi tu
 
Habari wana mmu napenda niombe msaada kwenu kwa anayeweza kunisaidia.nipo ktk kwa miaka3 ss mwanzoni nilikuwa fiti sana kimchezo yaani mabao ilikuwa ni km kawa.lakini cku hz nipo luz sana tena cku hizi nikiingiza tu sichukui round namwaga oil. NAOMBA ANEYEWEZA KUNISAIDIA NJIA YA KUCHELEWESHA KUmwaga ANIAMBIE KAMA IPO DAWA PIA NAOMBA MSAADA NAMNA YA KUIPATA.Msaada wenu utanusuru ndoa yangu

Pole sana
 
Mbutananga! Apaaaa!!! Yawe Mlyisi Ulemchenyamar'ika aisee. Ptu mbaka. Shuuuuu!

fanya mazoezi
na ppunguza kufanya hiyo kitu,...
. kula vizuri i mean chakula chenye virutubisho vyote achana na chips mayai..
sidhani kama demu wko ana taztizo kwenye upande wa mvuto
ukifanya hayo yatakusaidia....

kama ni mvivu fanya yafuatayo:
kunywa zanj na konyagi kabla ya kwenda kwenye game
kunywa panadol
piga pull kwa bao la kwanza na baada ya hapo ndo uendeleee uwiiii
 
Back
Top Bottom