Yako mambo mengi hujafafanua vizuri kwa mfano familia yako inakula mara ngapi kwa siku? Menu yenu ina milo aina ngapi( course ngapi)? chakula aina gani? Kwa mfano kupika maharage ni tofauti na kupika sausage. Pia inategemea unatumia pressure cooker au la. Lakini very generally speaking familia yako inaweza ikatumia mtungi wa kilo 15 kwa muda wa mwezi mmoja, yaani 54,000/-