Msaada jamani kuhusu huawei-y511-u30

Troll JF

Platinum Member
Joined
Feb 6, 2015
Posts
9,328
Reaction score
13,775
Wanajamvi simu tajwa hapo juu nikiiwasha inashia kwenye HUAWEI logo tuu haiendelei kwingine......Please naomba msaada wenu natanguliza shukrani
 
peleka kwa fundi wakaiflash kuna software imemis na inatokana na kutumia internet sana pasipo kuamptudate,kwa hiyo imechanganyikiwa,imekuwa kama laptop inapokosa baadhi ya driver,kayandamc 0658578715
 
peleka kwa fundi wakaiflash kuna software imemis na inatokana na kutumia internet sana pasipo kuamptudate,kwa hiyo imechanganyikiwa,imekuwa kama laptop inapokosa baadhi ya driver,kayandamc 0658578715

daah mkuu sasa umezid
 
peleka kwa fundi wakaiflash kuna software imemis na inatokana na kutumia internet sana pasipo kuamptudate,kwa hiyo imechanganyikiwa,imekuwa kama laptop inapokosa baadhi ya driver,kayandamc 0658578715

Mmh hizi fix mkuu, hiyo simu imekuwa bricked, na kutumia internet sana si moja ya sababu, sababu mojawapo yaweza kuwa ameinstall application ambayo si nzuri.

Cha kufanya ni kujaribu kuiflash, nakumbuka tecno yangu p5 ilifanya hivyo mpaka leo imeshikana pamoja na kujaribu kuiflash mara kadhaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…