naomben mnisaidie wana jf wenzangu...me ni msichana nmedumu na my bf takriban miaka 4 mapenz yetu yalikuwa mazuri before my bf ajapata kazi now kapata kazi kanibadlikia sana mpaka siamini kama ndo yeye 2liyekuwa tunapendana na week ya tatu sasa hapokei cm yangu mpaka ni2mie namba nyingine nkimuulza ananiambia hayuko sawa akiwa sawa ataniambia sababu imefkia mpaka hatua kahama bila kuniambia naskia kwa watu tu.Naumia sana natamani ni control hii situation but iz very diffucult sielew why ananifanyia hv msaada jamani bdo nampenda sana
naomben mnisaidie wana jf wenzangu...me ni msichana nmedumu na my bf takriban miaka 4 mapenz yetu yalikuwa mazuri before my bf ajapata kazi now kapata kazi kanibadlikia sana mpaka siamini kama ndo yeye 2liyekuwa tunapendana na week ya tatu sasa hapokei cm yangu mpaka ni2mie namba nyingine nkimuulza ananiambia hayuko sawa akiwa sawa ataniambia sababu imefkia mpaka hatua kahama bila kuniambia naskia kwa watu tu.Naumia sana natamani ni control hii situation but iz very diffucult sielew why ananifanyia hv msaada jamani bdo nampenda sana
Muache huru usimbughudhi.. Kama kweli ni wako, atarudi tuu..! Asiporudi, basi hakuwa wako..!
Kama ulimpa vya ndoa kwa miaka 4 bila ndoa ujue hapo umechokwa. Yaaani mdada miaka 4 mizima ulikuwa hujagundua hatma ya mahusiano yenu....Mimi lazima niwe wazi kwa dada zetu moja epuka kuwa na mahusiano katika umri mdogo namaanisha bado hujaipata dira yako kimaisha, pili hakikisha mahusiano unayoingia yasiwe ya starehe bali yawe ya kimaisha. Mwisho ukiona miaka miwili imepita bado giza la maisha limetanda ktk mahusiano mapya moja kwa moja jiweke pembeni uangalie ustaarabu wa maisha yako.
"Masikini hana tabia"
sahivi kishapata na hiyo anayoonesha sahivi ndo tabia yake halisi!!!!!!!
uamuzi ni wako sasa uvumilie au uchape lapa.......
To be honest, nachukia sana Tabia yetu wanaume, ya kuwaacha tuliosota nao hasa pale maisha yanapoanza kuwa na muelekeo...
Ila tatizo la girlfriends nao wakati hali si nzuri wanakuwa hawasomeki someki wanaruka ruka lakini mishe zikianza kusoma tu ndo wanaanza kukukaba wakati ameshakuumiza kichwa sana enzi za alosto,,,
Hebu tueleze vimbwanga vyako wakati hajapata kazi vilikuwaje he he he, isije kuwa unamkaba baada ya kupata mchongo na umeshamzingua sana zamani
Pole sana dada yangu
'
Jambo la msingi sasa la kufanya japokua linaweza kuwa gumu kwako ni kukata mawasiliano nae,hana maana sana huyo
'
Jitahidi umsahau ondoa kumbukumbu yoyote inayokukumbusha huyo jamaa,usimng'ang'anie atakunyanyasa sana,watu wengine ni wa hovyo sana!