Msaada Iphone 5

Rancho Chand

Senior Member
Joined
Nov 4, 2012
Posts
150
Reaction score
71
Wadau simu yangu imekuwa pasua kichwa. Ina tatizo lifuatalo, kuna muda inapitisha charge, sometimes haipitishi kabisa kwa kutumia same cable. Nshabadili cable kibao lakini tatizo lipo pale pale.je tatizo linaweza kuwa nini?
 
hayo ni mambo ya hardwere...so jipange... kama upo dar... nenda sapna....
 
Wadau simu yangu imekuwa pasua kichwa. Ina tatizo lifuatalo, kuna muda inapitisha charge, sometimes haipitishi kabisa kwa kutumia same cable. Nshabadili cable kibao lakini tatizo lipo pale pale.je tatizo linaweza kuwa nini?

Huwa unazipata original cable au yoyote tuu huwa unaconnect na kucharge??
 
Wadau simu yangu imekuwa pasua kichwa. Ina tatizo lifuatalo, kuna muda inapitisha charge, sometimes haipitishi kabisa kwa kutumia same cable. Nshabadili cable kibao lakini tatizo lipo pale pale.je tatizo linaweza kuwa nini?

Kama unatumia iphone5 itakuwa unanunua waya ambazo si original na hizi simu unaweza ukatumia nyaya feki kwa mwezi mzima baadaye simu inakuwa haiitambui tena hiyo chaja au unaweza ukawa na waya usb na kichwa chake kikiwa feki yatakuwa yaleyale
 
Asanteni wadau, nimefanikiwa kutatua tatizo


Sent from my iPhone using JamiiForums app
 
Asanteni wadau, nimefanikiwa kutatua tatizo


Sent from my iPhone using JamiiForums app
wamegundua tatizo lilikuwa nini mkuu?ili na sisi siku nyingine tujifunze,,
 
wamegundua tatizo lilikuwa nini mkuu?ili na sisi siku nyingine tujifunze,,

Tatizo lilikuwa ni port ya kuchajia, so nikabadili kile kidude, its working now.


Sent from my iPhone using JamiiForums app
 
Tatizo lilikuwa ni port ya kuchajia, so nikabadili kile kidude, its working now.


Sent from my iPhone using JamiiForums app

Next kuwa makini, machaja ya mchina yanaua sana port za kuchajia
 
Tatizo lilikuwa ni port ya kuchajia, so nikabadili kile kidude, its working now.


Sent from my iPhone using JamiiForums app

Lesson learned.


Sent from my iPhone using JamiiForums app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…