Wadau simu yangu imekuwa pasua kichwa. Ina tatizo lifuatalo, kuna muda inapitisha charge, sometimes haipitishi kabisa kwa kutumia same cable. Nshabadili cable kibao lakini tatizo lipo pale pale.je tatizo linaweza kuwa nini?
Wadau simu yangu imekuwa pasua kichwa. Ina tatizo lifuatalo, kuna muda inapitisha charge, sometimes haipitishi kabisa kwa kutumia same cable. Nshabadili cable kibao lakini tatizo lipo pale pale.je tatizo linaweza kuwa nini?
Wadau simu yangu imekuwa pasua kichwa. Ina tatizo lifuatalo, kuna muda inapitisha charge, sometimes haipitishi kabisa kwa kutumia same cable. Nshabadili cable kibao lakini tatizo lipo pale pale.je tatizo linaweza kuwa nini?
Kama unatumia iphone5 itakuwa unanunua waya ambazo si original na hizi simu unaweza ukatumia nyaya feki kwa mwezi mzima baadaye simu inakuwa haiitambui tena hiyo chaja au unaweza ukawa na waya usb na kichwa chake kikiwa feki yatakuwa yaleyale