Zinatofautiana na sehemu mfano uoni kuna wengine wameitwa leo wanaenda fanya kesho kuna wengine wamefanya jana kuna wengine wamefanya juzi na pia hivyo hivyo kuna wengine wamefanya round mbili kupima urefu na usaili wenyewe wengine mmoja yaani hawa jamaa hawatabiriki
Ila hapo ulipo mwaka jana niliitwa tulifanya mara moja