Kweli Asee ..sema kwa magereza tangu kamishna mpya alivyoteuliwa hajapata muda wa kukaa na kuongea na Rais kutokana na wingi wa mambo ikiwemo ziara nyingi za muheshimiwa Rais ,punde watakapokutana tu nadhani mambo yatakuwa mazuri .
Hamna hio haiwezi kuwa sababu maana kama kibali cha kuajiri washapewa, usaili ushaisha wa ngazi ya mikoa tushajua matokeo yetu na meseji walitutumia sasa sijui shida nini
Hamna hio haiwezi kuwa sababu maana kama kibali cha kuajiri washapewa, usaili ushaisha wa ngazi ya mikoa tushajua matokeo yetu na meseji walitutumia sasa sijui shida nini
Hamna hio haiwezi kuwa sababu maana kama kibali cha kuajiri washapewa, usaili ushaisha wa ngazi ya mikoa tushajua matokeo yetu na meseji walitutumia sasa sijui shida nini