Ethical Ninja CEH
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 3,695
- 5,052
Msaada !
Kuna practise nafanya ya ku access internal network pamoja na Web Api.
Nimefanikiwa kujua IP zake (wanatumia static IP).
Ninapo add kwa command ya ( ip route add 10.XXX.XXX.0/24 via 192.xxx.xxx.xxx) zinakubali, ila kila ninapo jaribu ku access address ya Web inakataa.
Tatizo linaweza likawa ni nini? au kuna njia tofauti ya kufikia hiyo Web na Network?
Kuna moja nilitumia njia hii ku access secret server nilifanikiwa.
C.c snipa , Chief-Mkwawa , Njunwa Wamavoko , JuaKali
Na wadau wengine wote
Kuna practise nafanya ya ku access internal network pamoja na Web Api.
Nimefanikiwa kujua IP zake (wanatumia static IP).
Ninapo add kwa command ya ( ip route add 10.XXX.XXX.0/24 via 192.xxx.xxx.xxx) zinakubali, ila kila ninapo jaribu ku access address ya Web inakataa.
Tatizo linaweza likawa ni nini? au kuna njia tofauti ya kufikia hiyo Web na Network?
Kuna moja nilitumia njia hii ku access secret server nilifanikiwa.
C.c snipa , Chief-Mkwawa , Njunwa Wamavoko , JuaKali
Na wadau wengine wote