Wakubwa Salaam!!
Nimeitwa katika usaili Halmashauri ya wilaya ya Morogoro. Ninaomba msaada kwa anayefahamu ni hotel gani ninaweza kufikia ya bei ya Tsh 15,000/- kwa siku, mambo ya kula nitajua mbele ya safari.
Kama namba ya simu ya hotel hiyo inaweza kupatikana, nitashukuru ikiwekwa hapa ili tuweze kutoa oda ya chumba.
Asanteni