Mimi nikifika moshi mjini uwa na lala Q wine hotel ipo mjini nalala chumba cha elfu hamsini ni kizuri kama utapenda hapo nitakutumai no za mapokezi
Kuna Dada mmoja anaitwa Zulfa na wakiume anaingia usiku ni wastaraabu sana na kwa ufupi wasafi sana
Mimi nikifika moshi mjini uwa na lala Q wine hotel ipo mjini nalala chumba cha elfu hamsini ni kizuri kama utapenda hapo nitakutumai no za mapokezi
Kuna Dada mmoja anaitwa Zulfa na wakiume anaingia usiku ni wastaraabu sana na kwa ufupi wasafi sana
Kilimanjaro White House Hotel ,
Ni Bei nafuu sana - Elfu 20
Iko juu ya KCMC , chini ya chuo Cha Mwenge University.
FREE WIFI - High Speed
Ni hotel flani ya kitalii , imetulia Ila Bei zake nashangaa kwani Ni rahisi kiasi kile