Msaada: Hatua za kufuata ili kupata passport

Msaada: Hatua za kufuata ili kupata passport

Edenhome

Member
Joined
Apr 5, 2017
Posts
48
Reaction score
75
Ndg wapendwa wa JF naomba mwenye uelewa juu ya Passport ya kitabu,anisaidie mlolongo mzima wa viambatanisho na fomu zake taarifa gan za msingi za kujaza,

Asanteni kwa msaada wenu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndg wapendwa wa JF naomba mwenye uelewa juu ya Passport ya kitabu,anisaidie mlolongo mzima wa viambatanisho na fomu zake taarifa gan za msingi za kujaza,

Asanteni kwa msaada wenu

Sent using Jamii Forums mobile app
Inategemea unataka kusafiri Kwa sababu zipi

KIKAZI.
Unahitaji
1.cheti cha kuzaliwa
2.Barua ya mwajiri
3.Barua ya mwaliko
4.Kitambulisho cha kazi

Biashara
1.TIN
2.Leseni ya biashara
3.Barua ya utambulisho serikali za mtaa
4.Kitambulisho
5.Barua ya Mwaliko.

Na Elfu 50 za passport.

Epuka matapeli Usitoe rushwa
 
Inategemea unataka kusafiri Kwa sababu zipi

KIKAZI.
Unahitaji
1.cheti cha kuzaliwa
2.Barua ya mwajiri
3.Barua ya mwaliko
4.Kitambulisho cha kazi

Biashara
1.TIN
2.Leseni ya biashara
3.Barua ya utambulisho serikali za mtaa
4.Kitambulisho
5.Barua ya Mwaliko.

Na Elfu 50 za passport.

Epuka matapeli Usitoe rushwa


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inategemea unataka kusafiri Kwa sababu zipi

KIKAZI.
Unahitaji
1.cheti cha kuzaliwa
2.Barua ya mwajiri
3.Barua ya mwaliko
4.Kitambulisho cha kazi

Biashara
1.TIN
2.Leseni ya biashara
3.Barua ya utambulisho serikali za mtaa
4.Kitambulisho
5.Barua ya Mwaliko.

Na Elfu 50 za passport.

Epuka matapeli Usitoe rushwa
Hongera dingi upo vizuri
 
Inategemea unataka kusafiri Kwa sababu zipi

KIKAZI.
Unahitaji
1.cheti cha kuzaliwa
2.Barua ya mwajiri
3.Barua ya mwaliko
4.Kitambulisho cha kazi

Biashara
1.TIN
2.Leseni ya biashara
3.Barua ya utambulisho serikali za mtaa
4.Kitambulisho
5.Barua ya Mwaliko.

Na Elfu 50 za passport.

Epuka matapeli Usitoe rushwa
Bado cheti cha mzazi,bado wadhamini hapo.bado muhuri wa wakili.aende akajionee mwenyewe.
KIUKWELI UHAMIAJI RUSHWA HAIKWEPEKI.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inategemea unataka kusafiri Kwa sababu zipi

KIKAZI.
Unahitaji
1.cheti cha kuzaliwa
2.Barua ya mwajiri
3.Barua ya mwaliko
4.Kitambulisho cha kazi

Biashara
1.TIN
2.Leseni ya biashara
3.Barua ya utambulisho serikali za mtaa
4.Kitambulisho
5.Barua ya Mwaliko.

Na Elfu 50 za passport.

Epuka matapeli Usitoe rushwa

Sasa mkuu kutalii je!?
 
Back
Top Bottom