mkubwa mwambie fundi acheki tie rod hands,ball joints juu chini,wsh bns,ndio ugonjwa mkubwa wa hayo magari kisha fanya greasing mkuu.Halafu fundi msimamie ila kama unamwamini inawezekana hamna haja ya kubadili spare ni ulegevu hivyo ni kukaza 2.Pole mkuu itarudi hali yake ukizingatia
Mwanzoni nilizani shock ups lakini fundi alicheck hazina shida kabisa na akaniambia ingekuwa ni tatizo la shock up zingekua zinagonga through out halaf kugonga kwenyewe ninako kuzungumzia unasikia sauti kite si kila mara wala si kwa pattern inayoeleweka je kule kwenye difu huwa kuna bush labda zimeisha? au ni nini sijui hii gari naipenda sana injini safiiii...ningependa hili tatizo liishe...
hata mimi namshauri acheki matairi, na kama alibadili tire size au rim size inaweza kusumbua kwa aina hiyo ya gari,,,,otherwise acheki steering rack, na tie rod ends
check tie-rod hands zaidi, tena kila Miezi 6 iwapo kila siku wapita rough roads. Pia steering rack cheki. Ika MSISITIZO TIE-ROD HANDS! Zikigonga maana yake no dignal kuwa ANYTIME zinachomoka. Zikichomoka safari mwisho... husogei maana tair zitakia moja kushoto..moja kulia. You dont want that.