Msaada - Gharama za ujenzi/ukarabati!

Quemu

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2007
Posts
984
Reaction score
133
Kwa wale walioko nyumbani ambao wako kwenye fani ya ujenzi au kwa wale wenye uzoefu na shughuli za ujenzi. Tafadhali ninaomba makadirio ya ukarabati ufuatao:

Any help would be greatly appreciated.
 
I can help... Ila frankly speaking 'Labour only' works sucks!

Check with me on Monday. Halafu it could be healthier if you could send me a PDF format plan or Structural & architectural drawings. From there nitakupa bei.

Remember, nifahamishe nyumba hiyo ni Dar au mikoani? Na kama ni mikoani basi nifahamishe ni Arusha au Mwanza ama Kigoma.

Pia, refurbishment works zina utofauti mkubwa kulingana na extent ya jengo husika. Itapendeza ukanitumia picha za jengo hilo nilifanyie upembuzi juu ya nini kinahitajika na hukukiweka katika maelezo yako. Itanirahisishia hata kama nakupa rough estimate iendane na uhalisia wa kitu chenyewe. Epuka wanaosema ni roughly $250 au $400 kwa square metre, lazima mtu ajue extent ya ubovu wa exisisting building.

My email & phone number are on my signature.

Ningefurahi ningekupa bei detailed including na materials supply ili kama unatumia contractor iwe rahisi ku-judge wapi ulalie na kama unatumia deiwaka basi ujue wapi uanzie na ukabiliane naye vipi.

Mac
 
Thanks Max.

Check your PM kwanza...then email....🙂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…