Msaada wadau, nafahami ipo Mikocheni ila nikitaka kwenda escape one natakiwa nishuke kituo kipi? Je kutoka kituoni mpaka eneo husika kuna umbali gani? Asanteni
Msaada wadau, nafahami ipo Mikocheni ila nikitaka kwenda escape one natakiwa nishuke kituo kipi? Je kutoka kituoni mpaka eneo husika kuna umbali gani? Asanteni
Karibu Dar es Salaam chukua Uber mpaka escape one, acha kupanda madalala utaibiwa mpaka na hela zako zakula shangwe mlalakua, immediate baada ya daraja