Msaada: Dawa za typhoid aina ya Cipro

Msaada: Dawa za typhoid aina ya Cipro

0897

Member
Joined
Feb 25, 2022
Posts
39
Reaction score
92
Mambo vp wakuu natumaini mko vizuri....

Naomba kuuliza mwenye uelewa na hizi dawa za typhoid (Cipro)
Naona zinanipeleka Kasi kweli kweli, baada ya vipimo typhoid ilikuwa 160 ila hizi dawa naona kama zinataka kunishinda
 
Mambo vp wakuu natumaini mko vizuri....

Naomba kuuliza mwenye uelewa na hizi dawa za typhoid (Cipro)
Naona zinanipeleka Kasi kweli kweli, baada ya vipimo typhoid ilikuwa 160 ila hizi dawa naona kama zinataka kunishinda
Tofauti na hizo itabidi umeze Chloromphenicol
 
Mambo vp wakuu natumaini mko vizuri....

Naomba kuuliza mwenye uelewa na hizi dawa za typhoid (Cipro)
Naona zinanipeleka Kasi kweli kweli, baada ya vipimo typhoid ilikuwa 160 ila hizi dawa naona kama zinataka kunishinda
kunywa dawa baada ya kushiba, kunywa maji mara kwa mara, hizo ni side effects tu za dawa, ukimaliz dozi kila kitu fresh
 
Kunywa maji mengi na Cipro ndio dawa nzuri na hakikisha una maliza dozi
 
Cipro is a wonder drug. The best I know...
Meza na Panadol upunguze maumivu.
 
Mambo vp wakuu natumaini mko vizuri....

Naomba kuuliza mwenye uelewa na hizi dawa za typhoid (Cipro)
Naona zinanipeleka Kasi kweli kweli, baada ya vipimo typhoid ilikuwa 160 ila hizi dawa naona kama zinataka kunishinda
Mambo vp wakuu natumaini mko vizuri....

Naomba kuuliza mwenye uelewa na hizi dawa za typhoid (Cipro)
Naona zinanipeleka Kasi kweli kweli, baada ya vipimo typhoid ilikuwa 160 ila hizi dawa naona kama zinataka kunishinda
Hope walikwambia ule ushibe na usinywe maziwa.
 
Back
Top Bottom