Mkojo wa punda nusu lita changanya, utiti utitiri kilo moja na asali ibrand pamoja kisha paka mlangoni na dirisha ukinuia kwa lugha yoyote kuwa wateja wajae mpaka ukose cha kuwauzia.
Ila kabla hapo hakikisha biashara yako kuna bidhaa zote pendwa kulingana na takwa la wateja na eneo husika, pili toa huduma kwa kumsikiliza na kumwelewa mteja katika kutaka kumtosheleza uhitaji wake bali pia kuonyesha kujali thamani ya fedha alokuletea tatu jenga mazoea ya kupita na kuona namna wahudumu wanavyohudumia wateja nne ukaribu na ujirani na waliokuzunguka.
Kwa leo niishie hapa ikishindikana ntarudi kupa dawa moja kiboko