Kuna dawa ya wadudu inauzwa kwenye maduka ya dawa za kilimo, unamwaga kwenye vizingiti vya milango madirishani hapo utawazui kuingia ndani nje tafuta njia yao mule wanakopita jitahidi kuchoma Moto kila jioni na asubuhi uwe unafanya kuwatafuta hao wadudu sio wazuri hasa ukiwa na mtoto mdogo ndani wanauwezo wa kuua. Chukua hatua mapema