MSAADA: Computer yangu haipitishi charge jamani wataalam nisaidieni

MSAADA: Computer yangu haipitishi charge jamani wataalam nisaidieni

ameline

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2013
Posts
2,292
Reaction score
1,152
Computer ya kwangu ni Dell Latitude naipenda sana jamani tangu 2007 ninayo na haijawahi kunisumbua kwa lolote mpaka jana ndo nimeshangaa kweli.
tatizo haipitishi chag wala kuserve moto..adaptor ipo safi nimejaribu computer ingine imepitisha..nimechukua adaptor ingine bado imenigomea sasa sijui kama ni haka kaplug ka kupitisha moto kamepiga shot au vip? naombeni msaada kama ndo ya kutupa ama vinauzwa?au kutengenezeka?
 
Computer ya kwangu ni Dell Latitude naipenda sana jamani tangu 2007 ninayo na haijawahi kunisumbua kwa lolote mpaka jana ndo nimeshangaa kweli.
tatizo haipitishi chag wala kuserve moto..adaptor ipo safi nimejaribu computer ingine imepitisha..nimechukua adaptor ingine bado imenigomea sasa sijui kama ni haka kaplug ka kupitisha moto kamepiga shot au vip? naombeni msaada kama ndo ya kutupa ama vinauzwa?au kutengenezeka?
Pole,only sometimes we have to agree to leave what we used to love.Nimefurahi umefanya troubleshooting vizuri(isolating the problem).Inawezekana sehemu inayopokea moto inashida,hicho kifaa ni replaceable ila sasa je utakipata hapa Tz?na utapata fundi ambaye ataweza kukusaidi?Alternatively kama una mtu analaptop kama hiyo,itabidi uwe unamsumbua unaweka battery kwake ikiwa full unatumia mpaka uatakapo solve hilo tatizo au kununua mpya.
tafuta fundi mzuri ajaribu kucheck,labda kuna disconnection somewhere.
 
Tafuta fundi mzuri aangalie tatizo kwani issue ni hardware na ndani ya machine ni vigumu kusema moja kwa moja kuwa badili kitu fulani
 
Pole,only sometimes we have to agree to leave what we used to love.Nimefurahi umefanya troubleshooting vizuri(isolating the problem).Inawezekana sehemu inayopokea moto inashida,hicho kifaa ni replaceable ila sasa je utakipata hapa Tz?na utapata fundi ambaye ataweza kukusaidi?Alternatively kama una mtu analaptop kama hiyo,itabidi uwe unamsumbua unaweka battery kwake ikiwa full unatumia mpaka uatakapo solve hilo tatizo au kununua mpya.
tafuta fundi mzuri ajaribu kucheck,labda kuna disconnection somewhere.

asante ndugu..naomba niulize tena kwa sasa imeisha charge yoote wala haiwaki na kuna vitu vya muhimu navihitaji humo sasa fundi hawezi kuifungua akatoa ram akaiweka somewhere nikavichukua hivyo vitu? naonba niulize kwanza maana mafundi wengi siku hizi na matapeli ni wengii..heri nyie ambao ni expert wa haya mambo...maana naweza kumpelekea fundi akakorokochoa akaongeza tatizo...
 
Tafuta fundi mzuri aangalie tatizo kwani issue ni hardware na ndani ya machine ni vigumu kusema moja kwa moja kuwa badili kitu fulani

Asante ndugu mafundi hapa Arusha ambao ni wazuri hata siwajui ndo naulizauliza hapa maeneo wanamouza computer labda watanipa fundi..
 
asante ndugu..naomba niulize tena kwa sasa imeisha charge yoote wala haiwaki na kuna vitu vya muhimu navihitaji humo sasa fundi hawezi kuifungua akatoa ram akaiweka somewhere nikavichukua hivyo vitu? naonba niulize kwanza maana mafundi wengi siku hizi na matapeli ni wengii..heri nyie ambao ni expert wa haya mambo...maana naweza kumpelekea fundi akakorokochoa akaongeza tatizo...
Kutoa vitu inawezekana,kutoa information yako haihitaji utoe RAM,kama una case ya external hard disk ambayo hard disk yakoinaweza kaa huko,atatoa hard disk nakuiweka kwenye hiyo case au kuiweka kwenye laptop nyingine ya model na aina kama hiyo yako then unaweza toa information zako.Uwe makini,nakushauri tafuta IT person wa ofisi yeyote ya maana kidogo kama humjui tumia hata marafiki,mafundi wa mtaani huwa wengine hawana vitendea kazi.
Anatakiwa atoe hard kutoka kwenye laptop yako aiweke kwenye external hard disk case au laptop kama yako then utaweza kutoa information zako.
Ila ukitoka kwenye hilo tatizo ujifunze kitu kinaitwa "backup" ni muhimu kuchukua information zako na kuzitunza pia sehemu nyingine tofauti na laptop yako incase imepata tatizo information zako zitakuwa safe hasa zile za muhimu.
 
Kutoa vitu inawezekana,kutoa information yako haihitaji utoe RAM,kama una case ya external hard disk ambayo hard disk yakoinaweza kaa huko,atatoa hard disk nakuiweka kwenye hiyo case au kuiweka kwenye laptop nyingine ya model na aina kama hiyo yako then unaweza toa information zako.Uwe makini,nakushauri tafuta IT person wa ofisi yeyote ya maana kidogo kama humjui tumia hata marafiki,mafundi wa mtaani huwa wengine hawana vitendea kazi.
Anatakiwa atoe hard kutoka kwenye laptop yako aiweke kwenye external hard disk case au laptop kama yako then utaweza kutoa information zako.
Ila ukitoka kwenye hilo tatizo ujifunze kitu kinaitwa "backup" ni muhimu kuchukua information zako na kuzitunza pia sehemu nyingine tofauti na laptop yako incase imepata tatizo information zako zitakuwa safe hasa zile za muhimu.

jamani asante sana..inabidi ninunue external hard disc maana hata kwenye flash ama cd haviwez enea..ngoja nizingatie ushauri wako..ubarikiwe..
 
jamani asante sana..inabidi ninunue external hard disc maana hata kwenye flash ama cd haviwez enea..ngoja nizingatie ushauri wako..ubarikiwe..
Ok,all the best in that zoezi.
 
Computer ya kwangu ni Dell Latitude naipenda sana jamani tangu 2007 ninayo na haijawahi kunisumbua kwa lolote mpaka jana ndo nimeshangaa kweli.
tatizo haipitishi chag wala kuserve moto..adaptor ipo safi nimejaribu computer ingine imepitisha..nimechukua adaptor ingine bado imenigomea sasa sijui kama ni haka kaplug ka kupitisha moto kamepiga shot au vip? naombeni msaada kama ndo ya kutupa ama vinauzwa?au kutengenezeka?

hujaiangusha?? haijapata mtikisiko hasa battery? je inakuleta meseji gani ukichomeka chaja?
 
Back
Top Bottom