Msaada: Chuo kinachotoa mafunzo ya utunzaji maiti

Msaada: Chuo kinachotoa mafunzo ya utunzaji maiti

nilindeye

Member
Joined
Feb 27, 2016
Posts
14
Reaction score
13
Natafuta Chuo chochote kinachotoa mafunzo ya utunzaji maiti(mortuary attendant) kwa Tanzania
Msaada tafadhali....
Nawasilisha.
 
Muhimbili wana hiii kozi jaribu kuulizia pale
 
Hospital ya Muhimbili uliza pale kwenye ofisi za Utawala
 
Mboni Masimba (samahani kama nimekosea jina) kwenye kipindi chake TBC alikuwa anamhoji binti mmoja ambaye amesomea kozi hiyo nafikiri kwa sasa anafanya practicals kibaha (?Tumbi). Hivyo ukimtafuta Mboni anaweza akakupatia habari za uhakika.
 
Dah mtoa mada hongera ila usikatishwe tamaa ajira ni uhakika ukimaliza ma mshahara mzuri tyu
 
Back
Top Bottom