Msaada: Changamoto yangu ni fangasi

Msaada: Changamoto yangu ni fangasi

Bin Kisafuru

Senior Member
Joined
Oct 4, 2018
Posts
110
Reaction score
162
Jamani nina fangasi kwenye pumbu (korodani) zinanisumbua sana (zinawasha), msaada tafadhali maana nimetumia dawa za kupaka lakin wapi.

Mwenye kujua tiba asili naomba anisaidie.
 
Pole sana

Rudi Tena hospitali

Jitahidi kuvaa nguo za ndani za cotton na zikauke vizuri

Jitahidi kuwa mkavu na ukiwa home kama unapata muda wa kuwa peke Yako usivae chochote

Choma nguo za ndani zote nunua zingine

Anika juani nguo za ndani.

Hakikisha hukai na msitu mkubwa unyevu nyevu wa jasho usiwepo

Tumia dawa vizuri

Watakuja kukushauri wanaojua dawa za kienyeji pia
 
Shida ni unatumia boxer zile zile choma boxa zako zote ambazo uko nazo saa hii hata kama bado zipo vizuri. Usivae boxer kwa muda kama wa wiki mbili ukiwa unaoshea hilo eneo kwa detol na kupakaa ile cream ya kuua fungus. Utaona hiyo shida inapotea. Usidanganye kuwa ukizifua au kuziloweka na detol itasaidia hapana haitasaidia.


Narudia tena, toa boxer zote ambazo umevaa ukiwa na hiyo hali ya muwasho na fungus, uzichome moto usije ukampa mtu au ukaziacha zinazagaa na nguo zingine. Zichome moto. Nenda kanunue mpya na usizivae hadi upone kwanza ndipo utaanza kuzivaa.
 
wengi wamegusia boxer pekeake, mimi nakushauri uchome moto na taulo unalotumia kujikaushia mwili unapotoka kuoga.
 
Kuna dawa ya kupaka nimeisahau jina ila ni kiboko, pharmacy wanaiuza 15k
 
Wakiomba picha kataa mkuu.... kuna memba aliwahi kuweka mkuyenge wake hapa akiwa anasumbukiwa na vipele, basi akatikea dada mmoja mwenyeji kabisa hapa ndani akaanza kuusifia kwamba unafaa kwa matumizi...😂
 
Jamani nina fangasi kwenye pumbu (korodani) zinanisumbua sana (zinawasha), msaada tafadhali maana nimetumia dawa za kupaka lakin wapi.

Mwenye kujua tiba asili naomba anisaidie.
Unavaa boksa moja week mbili unategemea utakua salama mkuu
 
Chukua kipande cha limao kamua kisha upake asubuhi jioni paka limao na asali na pia lala ukiwa umengalia juu naomba mrejesho
 
Tiba ya dawa asili inayokomesha kabisa tatizo hilo na kuweka kinga dhidi ya magonjwa ya aina hiyo wasiliana nami kupitia ujumbe binafsi.Utapata dawa ya kunywa kwa siku kadhaa huku ukipaka sehemu iliyoathirika
 
Mkuu mm nilikuwa na tatizo Hilo hasa miezi ya joto kwa miaka mingi limenisumbua , ila nilipata tiba hapa jf, as follow Saga saga kitunguu swaumu na tangawizi Kisha chemsha , iache ipoe halafu ichuje upate juisi changanya na original asali. Kunywa vijiko viwili asb na jioni Kwa siku 7.utapona mkuu hizo ointment hazitakusaidia kamwe
 
Back
Top Bottom