Ni recommended one mkuu, na tulizifungua tena kihakikisha zimekaa sawa aula, ximekaa sawa.Mambo mawili ya kuzingatia,
1. Plugs ulizoweka ni recommended kwa hiyo engine? Plugs hazifanani.
2. Aliyeziweka aliziweka vizuri?
Watu wanarusha tu plug, mwisho tip inapinda then plug mpya inaanza kubehave kama plug mbovu.
Juzi tu amekuja mtu wa humu ndani na gari yake inamisi ikiwa Idle, kufungua plug ni mpya na recommended kabisa kwa hiyo engine ila aliyezifunga alizirusha tu tip imebana kwenye plug 3 kati ya nne.
Nikaanza kuadjust tena tip na gapping tool. Kurudishia ishu imepotea.
Gearbox oil gari inachelewa kuwaka na engine inamisi?
Alternator na battery headlight yao ni moja mkuu?Boss battery au alternator angekuwa anapata shida kwenye headlights, zingekuwa zinadim sometimes,
Tatizo ni gari yake haina nguvu,
Sawa mtaalam.Sawa, angalia:
1. Gear box oil - Muhimu sana, hii huwa tunaisahai sana.
2. Usikubali afungue fungue bila malengo.
Kwa uelewa mzee, kwamba vikizingua taa yao ni moja, usitucheke mkuu tuelekeze
Gari ina misi tayari gearbox inaingiaje?Amesema pia ina ugumu kupanda Mlima, gear box inaweza kuwa sababu.... Na nimesema gear box maana huwa ni jambo tunalolisahau, sasa wewe mshauri unavyojua na uache kuchallenge wanaotoa mawazo yao, kenge wewe
Samahani mkuu kama nimefanya ujisikie vibaya, halikua lengo langu.Kwa uelewa mzee, kwamba vikizingua taa yao ni moja, usitucheke mkuu tuelekeze
Oooh usijali mkuu nami nilikuwa na wenge.Samahani mkuu kama nimefanya ujisikie vibaya, halikua lengo langu.
Headlights ni taa za mbele za gari, sio warning lights za kwenye dashboard.
Katika kuhangaika nilidhani vinasababisha tatizo nikabadili.Kwanini ulibadili plug na fuel pump?
Ni noah old.Noah ipi Voxy au Old?
Ulikuwa na ujasiri gani kusafiri na gari weak milimani 🤣🤣🤣Kwa sasa nimekujanayo DOM mtaalam.
Sikuwa na namna na nilidhani itakuwa sawa tu lakn ikawa bila bilaUlikuwa na ujasiri gani kusafiri na gari weak milimani
Na hiyo ya mis niliigundua wakati napanda milima ile ya kutoka Moro kuja DomUlikuwa na ujasiri gani kusafiri na gari weak milimani
Ubena zomozi lazma uliachwa hadi na malori 🤣🤣🤣Na hiyo ya mis niliigundua wakati napanda milima ile ya kutoka Moro kuja Dom
Kabisa mtaalam, msaada hapo mzee!Ubena zomozi lazma uliachwa hadi na malori
Mkuu fata wataalam waliokushauri kuhusu filters. Ila pia kwa kuongezea hakikisha coils zako zote ni nzima. Coil moja ikiwa mbovu au inavujisha umeme mis mis lazma ziwepo.Kabisa mtaalam, msaada hapo mzee!
Ushauri wa wataalam nimezingatia sana mkuu na nitafanyia kazi, throttle n nn hii mtaalam.Mkuu fata wataalam waliokushauri kuhusu filters. Ila pia kwa kuongezea hakikisha coils zako zote ni nzima. Coil moja ikiwa mbovu au inavujisha umeme mis mis lazma ziwepo.
Wafungue throttle body waisafishe pia.
Basi nimeipata mkuu throttleUshauri wa wataalam nimezingatia sana mkuu na nitafanyia kazi, throttle n nn hii mtaalam.
Valve inayoingiza hewa kwenye engine kutoka kwenye air filter. Hio sehemu ipo karibu na cable ya accelerator ukifungua bonet ya gari utaionaUshauri wa wataalam nimezingatia sana mkuu na nitafanyia kazi, throttle n nn hii mtaalam.