let me school you a bit!
am sorry for catch me not!it's not about who am i going to be! it's all about what am i going to get!Not everything happens to your country UNAONA KAMA MAIGIZO!wenzetu developed countries wanaendelea kwa sabab mostly wanapeana constructive supportive ideas yani wako civilized in almost every aspect.kama utakuwa umeishi kwenye baadhi ya hizo nchi naamini unakitu moyoni asking!
Nilidhani ungeshauri kitaaluma na kimaslahi baina ya hizo kozi mbili kama wazifaham ingeleta uhalisia zaidi kuliko kuonesha ni jinsi gani ulivyo.iv hujahi ona PCM/pcb anasoma accounts[kwan malengo ya pcm/pcb ni kuwa accountant?nimekupa mfano mdogo tu na wa aina hiyo wapo wengi tu duniani not only homeland tz]USIDHARAU NCHI YAKO WALA USIKATE TAMAA NA NCHI YAKO MAANA UKIZIDI KUWA WEAK NA NCHI YAKO YOU MAKE THEM STRONGER NA NCHI ZAO.tushauriane kwa mema bro am sorr kama nimekosea.mungu akupe amani na neema katk maisha yako.