Inafaa kujua
Kama tzs 1,950,000 (Kariakoo) wiki 6 sasa zimeshapita tangu nipewe hiyo quotation. Kuna fursa maeneo gani? Napata challenge ya kupata madereva waaminifu.Naomba kujuzwa bei ya pikipiki aina sanlg cc 125 na 150 mpya ktk maduka ya dar, arusha na mwanza
Aina sanlg cc125 na 150 mpya, maduka ya dar na mwanza. Wadau maeneo hayo nijuzeni bei
Ngoja Twende ICU Muhimbili Watatuambia Vizuri Bei Za Pikipiki Kwani Nyingi Huishia Safari Zake Pale.
Mpaka kuiweka Njiani na Bima inakaribia 2.2m kama sikosei
Naomba kujuzwa bei ya pikipiki aina sanlg cc 125 na 150 mpya ktk maduka ya dar, arusha na mwanza
Boxer ni 2050000
Ila boxer au tvs hizo ndo pkpk ni ushaur tu
Nchi gani ni wauzaji wakubwa wa jumla kwa pikipiki?
Umeshindwa kuelewa kitu gani mwana ndugu?Mkuu swali lako liko general sana.
Mwanza nimeulizia 125cc ni Tshs 2,150,000, wakati 150cc ni Tshs 2,250,000 negotiable