Bonde la Baraka
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 4,580
- 7,938
Wakuu habarini!
Mimi ni mtumishi wa taasisi X ninataka kuhamia taasisi Y iliyo chini ya wizara moja na ninayofanyia kazi.
Sasa nauliza barua yangu naweza kuituma bila kuambatanisha nakala za vyeti vyangu halisi kwakuwa tayari Mimi ni mtumishi?
Kwa waliowahi kufanikiwa mchakato unaofanana na huu je, vyeti watavihitaji pindi watakapopokea barua yangu au watavihitaji endapo tu watanihitaji?
Note: Sibadilishi kada wala cheo.
Asanteni.
Kuuliza si ujinga
Mimi ni mtumishi wa taasisi X ninataka kuhamia taasisi Y iliyo chini ya wizara moja na ninayofanyia kazi.
Sasa nauliza barua yangu naweza kuituma bila kuambatanisha nakala za vyeti vyangu halisi kwakuwa tayari Mimi ni mtumishi?
Kwa waliowahi kufanikiwa mchakato unaofanana na huu je, vyeti watavihitaji pindi watakapopokea barua yangu au watavihitaji endapo tu watanihitaji?
Note: Sibadilishi kada wala cheo.
Asanteni.
Kuuliza si ujinga