ISO M.CodD
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 8,076
- 17,463
Ni sawa mkuu ila wizi wa kukaba ni mdogo zaidi kuliko ile ya kuibiwa kimiakimia,ila pia sio mbaya kuweka hata kama hilo litatokea itakuwa ni changamoto nyingine
Avast antvirus inapiga mzigo huo wote na unaweza pia kublock mtu asiiformat hadi aingize namba za siri na hata hata service mode haiendi hadi uingize codes na uki mobe nayo kama mita 100 ina anza kupiga kelee na ina kusms kupitia e-mail au phone no ulo ieka.Sasa akibadilisha CHIP akaweka nyingine hiyo SMS itafikaje!
Sent from my iPhone using JamiiForums app
Wadau naomba kujuzwa juu ya application ambayo itanisaidia kwenye makundi mawili
1:kuzuia wizi. Unajua unaweza weka cm mfukoni ile unashuka kwenye gari kumbe washaibeba. Ningependa application ambayo itakuwa na uwezo wa kudetect mkono au kitu ambacho sio familiar nayo. Hii inalenga kuzuia uwezekano wa mtu kuweka mkono wake mfukoni mwangu na kuiba simu kwani nataka ikiguswa tu na an unfamiliar object ipige kelele. ( hili linalenga kuzuia tatizo- proactive)
2: Kuwa na best application ambayo itaweza locate cm yangu pale itakopotokea kuwa nimeisahau au limetokea lolote lingine.
Thnhs
vp hiyo ni kwa ajili ya blackbery tu ama imekaaje hiyo mkuu?