Kwa mtazamo wangu airtel ndo mtandao bora kabisa wa mawasiliano kwa sasa kuliko mtandao wowote tanzania,
Kabla ckuwahi kujiunga bt baada ya voda na tigo kuzingua na mb8 nkahamia nyumba kubwa, sa iv raha tu napata dk kibao na mb za kutosha..
Karibun nyumba kubwa wakuu huhitaji univeso bundle