STERLING2014
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 239
- 74
Pc yangu Hp 250 g5 niliichaji siku mbili mfululizo... Siku ya tatu nkakuta ina ttzo kukaa na chaji.
Yaani nikiondoa tu charger inazima... Umeme tu ukizima na yenyewe inazima
Mwenye ujuzi wa namna ya kurekebisha hili ttzo plz anijuze.
Yaani nikiondoa tu charger inazima... Umeme tu ukizima na yenyewe inazima
Mwenye ujuzi wa namna ya kurekebisha hili ttzo plz anijuze.