Luno G
JF-Expert Member
- Sep 22, 2012
- 2,550
- 1,852
kuna laptops zinauzwa kariakoo kwenye duka fulani la wasomali, ni ya HP processer yake ni 2.8ghz, ram ni 2gb, hard disk ni 250gb na ni duo core
wanadai ukaaji wa chaji ni wa masaa 2 na warranty yao ni 2 weeks tu kwa bei ya 330000 tshs
msaada wenu kwangu
1. kama kuna mtu yotote mwenye uzoefu wa kununu laptops kwenye haya maduka ya kariakoo hasahasa ya wasomali sio vibaya akashare nami uzoefu wake
2. kitaalam je mashine ya specs hizo inalingana na price, na huo ukaaji wa chaji ni standard nk nk
shukrani sana
wanadai ukaaji wa chaji ni wa masaa 2 na warranty yao ni 2 weeks tu kwa bei ya 330000 tshs
msaada wenu kwangu
1. kama kuna mtu yotote mwenye uzoefu wa kununu laptops kwenye haya maduka ya kariakoo hasahasa ya wasomali sio vibaya akashare nami uzoefu wake
2. kitaalam je mashine ya specs hizo inalingana na price, na huo ukaaji wa chaji ni standard nk nk
shukrani sana