Unaulizia mambo ya ndoa za watu humu,... Mimi nilidhani ungejadili kuhusu utekelezwaji wa ilani zake... Elimu bure, Afya bure.. Makzi bora, kuandika katiba upya... Ambavyo mwanzo CCM walisema hazitekelezeki........
Halafu leo nao wanaigiza kutkeleza na kufeli. Hapa si uswazi useme upige umbea na wanawake wa uswhilini.. Hapa ni akili kubwa tu, mambo binafsi ambayo hayaingiliani na national interests yaache.