Issue ya Gambo kaa tu kimya , kama alishindwa kujirekebisha alivyotolewa Ukuu wa Wilaya , hiyo itakua ni tabia yake ....ya Jeuri ,Dharau na Majivuno ....ni ngumu sana kuwa kiongozi na aache hiyo tabia ...
Faili la Gambo lina mambo mazito ...na karibuni alimuiga Makonda tabia ya kuvuta pesa ...