Mrema na wanavunjo

Mrema na wanavunjo

RUMMYY

Member
Joined
Apr 18, 2013
Posts
18
Reaction score
0
mrema afanya mdahalo live na wananch huku akiwaeleza aliyofanya mpaka sasa ikiwemo barabara ya kawawa to marangu kilo mita 15 zimetimia. Pia soko la kimataifa njia panda.pia maji kirua kusini
 
hana lolote hiyo barabara ya kawawa mpaka leo mwaka wa tatu haina lami wala haieleweki lami au changarawe yaani akifika kirua atapigwa mawe.
 
Hana lolote huyu babu, tuliongea nae kuhusu kupeleka umeme Mamba day sec na tukamwambia tumo taysri kuchgiaa kiasi ili na wazszi wetu wapate umeme huko utamspo pita, kaahidi angefuatilia tanesco na wizarani. Hatuoni kitu zaidi ya kusinzia bungie na kucheza ngoma za ccm. Amize muda wake atuachie jimbo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom