Mwenyekiti wa TLP na Mbunge wa Vonjo Mh Agustino Liatonga Mrema amekosoa hotuba ya Rais Kikwete aliyoitoa Jijini Mbeya katika Kilele cha maadhimisho ya siku kuu ya Wafanyakazi Meimosi siku ya Jumatano.
Akizungumzia Hotuba hiyo ya Rais Kikwete alisema kwamba haina la maana la kumsaidia Mfanyakazi,zaidi sana imejaa NADHARIA badala ya Vitendo!!
Sourc: Gazeti la Majira.
Akizungumzia Hotuba hiyo ya Rais Kikwete alisema kwamba haina la maana la kumsaidia Mfanyakazi,zaidi sana imejaa NADHARIA badala ya Vitendo!!
Sourc: Gazeti la Majira.